Tuesday, November 15, 2016

thumbnail

VIJANA WENGI WAMEDISCO 2015/2016 NA SASA KASI IMEANZA MAVYUONI 2016/2017


Vyuo mbali mbali nchini kama UDOM, UDSM, SAUTI, TUMAINI, NELSON MANDELA, AIAA, RUAHA, SOKOINE, MKWAWA, MIPANGO, CBE, DUCE, ST JOHN, MUM n.k vimeanza ratiba za mwaka wake wa masomo 2016/2017, kwa wanafunzi wa wanaondelea na wa mwaka wa kwanza. Nimezungumza na baaadhi ya wanafunzi wa UDOM na wakasema waliosaini bachi ya kwanza kwa chuo hicho wamekwisha ingiziwa ada, ila hali inaonyesha vjana wengi wa mwaka wa kwanza wamerejea majumbani baada ya kunyimwa mikopo hali wengine wamewakopa bumu wenzao ili waweze kulipa ada.Hata  hivyo kuna habari za kusikitisha ni kwamba wanafunzi wanaoendelea wameonekana ni kidogo madarasani na baada ya kuhoji inasemekana mwaka wa masomo uliopita vijana wengi wamedisco.

Related Posts :

Subscribe by Email

Follow Updates Articles from This Blog via Email

No Comments

Copyright © 2021, Haki Zote Zimehifadhiwa. | Content by hafidh kindamba. Powered by Blogger.