Saturday, May 15, 2021

thumbnail

USAHIHI WA KAZI YA DAAWA NA TABLIGH -Sheikh Rajab Mtipa

 

Mazungumzo ya bayana yakifanyika katika mkusanyiko wa ijtemaa

 

Kwa muda mrefu kumekuwa na wasemaji wengi hasa katika upande wa kuikosoa kazi tukufu ya daawa katika usahihi wake na misingi yake. hapa sheikh Rajab Mtipa ameelezea kwa kina kabisa sintofahamu zote ambazo baadhi ya watu aidha kwa kutofahamu au kutaka kupotosha umma huwa wanazungumza hoja ambazo kiuhakika kabisa hazina ukweli ndani yake. sikiliza audio hizi mbili vizuri mpaka mwisho.

 PART ONE:  BONYEZA HAPA



 PART TWO: BONYEZA HAPA




Related Posts :

Subscribe by Email

Follow Updates Articles from This Blog via Email

No Comments

Copyright © 2021, Haki Zote Zimehifadhiwa. | Content by hafidh kindamba. Powered by Blogger.