Friday, November 11, 2016

thumbnail

PICHA ZA MBUNGE HAFIDH ALI TAHIR ALIEFARIKI USIKU WA KUAMKIA LEO novemba 11/11/2016.


Hafidh Ali Tahir Mbunge wa jimbo la Dimani (CCM) Zanzibar  amefariki dunia usiku wa kuamkia leo Hospitalini Dodoma na kisha mwili wake kuswaliwa msikiti wa nunge DODOMA na kisha kuagwa kwa kupewa heshima ya bunge asubuhi ambapo viongozi mbalimbali wa serikali na bunge walishiriki kabla ya kuusafirisha kwenda Zanzibar. Innaa lillahi wainnaa ilayhi raajiun, Mwenyezi Mungu ajaalie kaburi lake liwe ni miongoni mwa bustani za peponi, amin.

Related Posts :

Subscribe by Email

Follow Updates Articles from This Blog via Email

No Comments

Copyright © 2021, Haki Zote Zimehifadhiwa. | Content by hafidh kindamba. Powered by Blogger.